Djokovic ruksa kutetea Wimbledon Open 2022
Bingwa wa michuano ya wazi ya Wimbledon 2021 Mserbia Novak Djokovic atatetea ubingwa wake kwenye mashindano ya mwaka huu baada ya waandaaji wa mashindano hayo kuweka wazi washiriki wa michuano hiyo sio lazima wawe wamechanjwa chanjo ya Uviko 19.