Yanga yafika Mwanza, tayari kuivaa Geita Gold

Kikosi cha Yanga kikishuka kwenye Ndege, uwanja wa Ndege jijini Mwanza leo mchana

Kikosi cha vinara wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Yanga SC kimefika salama jijini Mwanza tayari kwa maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara dhidi ya wenyeji wao Geita Gold, mchezo utakaochezwa Jumapili Saa 10:00 Jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS