Amchoma moto mke wake mjamzito

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe, Janeth Magomi

Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe linamshikilia Shukrani Kamwela (16), mkazi wa Ileje mkoani Songwe kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma na kisu mke wake aitwaye Subira Kibona (16) aliyekuwa ni mjamzito na kisha mwili wake kuuchoma moto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS