Yanga yafika Mwanza, tayari kuivaa Geita Gold
Kikosi cha vinara wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Yanga SC kimefika salama jijini Mwanza tayari kwa maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara dhidi ya wenyeji wao Geita Gold, mchezo utakaochezwa Jumapili Saa 10:00 Jioni.

.jpeg?itok=XseKgAwW)