"Mwanaume hutakiwi kuoga kila siku" - Kodak Black Picha ya msanii Kodak Black Rapa asiyeishiwa na vituko Kodak Black kutoka nchini Marekani, ame-make headline mitandaoni baada ya kusema mwanaume haitaji kuwa anaoga kila siku bali kwa wanawake inafaa kuwa hivyo. Read more about "Mwanaume hutakiwi kuoga kila siku" - Kodak Black