Kwanini hizi ajali zinagusa wanahabari?- Nape

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye,

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye, amesema atahakikisha anafuatilia ripoti kutoka jeshi la polisi, itakayotoa taarifa za ukweli ili kujua ni nini kinachopelekea wanahabari kuguswa zaidi pindi ajali za magari ya misafara ya viongozi zinapotokea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS