"Ukraine walimwamini mchekeshaji" - Rais wa Brazil

Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro

Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro amekataa kuiwekea vikwazo Urusi baada ya kuvamia ardhi ya Ukraine na kuanzisha vita, na kusema Brazil haitaegemea upande wowote kuhusiana na kile kinachoendelea Ukraine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS