Nkane apewa jezi ya Ngasa, Yanga
Winga kinda Denis Nkane ameanza vizuri maisha yake ndani ya kikosi cha timu ya Wananchi Yanga SC baada ya hapo jana kufungwa bao 1 kwenye mchezo wake wa kwanza tangu ajiunge na kikosi hicho, kwenye mchezo wa kombe la Mapinduzi ambao Yanga iliibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Taifa Jan'gombe