Nkane apewa jezi ya Ngasa, Yanga

Denis Nkane

Winga kinda Denis Nkane ameanza vizuri maisha yake ndani ya kikosi cha timu ya Wananchi Yanga SC baada ya hapo jana kufungwa bao 1 kwenye mchezo wake wa kwanza tangu ajiunge na kikosi hicho, kwenye mchezo wa kombe la Mapinduzi ambao Yanga iliibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Taifa Jan'gombe

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS