(Donovan Mitchell wa Utah Jazz (kushoto) na Joel Embiid wa Philadelphia 76ers)
Joel Embiid wa Philadelphia 76ers na Donovan Mitchell wa Utah Jazz wameibuka kuwa washindi wa tuzo za mchezaji bora wa Ligi ya kikapu nchini Marekani ‘NBA’ kwa mwezi Disemba 2021 baada ya kuonesha viwango bora.