Usibadili dini kisa kuolewa- Jiwa Hassan
Mtaalam wa masuala ya mahusiano na saikolojia, Jiwa Hassan, amewashauri watu wasiwe wepesi wa kubadili dini kwa kigezo cha kuolewa ama kuoa, kwa sababu unaweza kuachika na kushindwa kurudia dini yako ya zamani na utaonekana unamtania Mungu.