Ten Hag ajifunza kiingereza, kujiunga na United
Moja kati ya makocha waliolengwa na klabu ya Manchester United kuchukua nafasi ya kua kocha wa kudumu kuwanoa mashetani hao wekundu Erik ten Hag sasa imearifiwa kwamba ameanza masomo ya kujifunza kuongea kiingereza kabla kufikia kwenye mazungumzo ya kuchukua mikoba ya kocha mkuu O.T.

