Tabia ya watoto kufanya biashara kukoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kwamba wajibu wa serikali ni kuhakikisha watoto wote wanakwenda shule na kuondoa kabisa tabia ya kukuta watoto wakifanya biashara kwenye stendi za mabasi au nyumba za starehe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS