Barcelona yaweka rekodi Italia, yafuzu 16 bora

Wachezaji wa Barcelona wakishangilia kwenye mchezo dhidi ya Napoli

Klabu ya FC Barcelona imefuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya UEFA Europa League kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-3 dhidi ya Napoli, hii ni mara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 jana usiku kwenye mchezo wa mkondo wa pili hatua ya mtoano. Na Droo ya hatua ya 16 bora inafanyika leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS