CCM Simiyu waomba walimu waajiriwe

Katibu wa CCM mkoa wa Simiyu, Innocent Nazaba

Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu, imeiomba serikali kuajiri walimu wengi wa kutosha, ili kukabiliana na ongezeko la wanafunzi watakaoanza masomo yao mapema mwakani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS