CCM Simiyu waomba walimu waajiriwe Katibu wa CCM mkoa wa Simiyu, Innocent Nazaba Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu, imeiomba serikali kuajiri walimu wengi wa kutosha, ili kukabiliana na ongezeko la wanafunzi watakaoanza masomo yao mapema mwakani. Read more about CCM Simiyu waomba walimu waajiriwe