Mhitimu wa SUA aliyeuawa, alivutwa shingo

Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Morogoro Ralph Meela

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja kwa mahojiano kufuatia kifo cha mhitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Magreth Mashue, na kusema kwamba uchunguzi wa awali wa daktari umebaini kwamba shingo ya marehemu ilivutwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS