Rais wa Ukraine aahidi kuishinda Urusi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametoa hotuba fupi kwa taifa na kutangaza kwa sheria za jeshi zitaanza kutumika nchi nzima na kuwataka wananchi wake kutokuwa na hofu na wapo tayari kwa kila kitu na ushindi upo juu yao licha ya Urusi kushambulia miundombinu ya kijeshi ya nchi hiyo.

