Wanafunzi wasio na sare wasizuiliwe shuleni 

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, amewataka wakuu wa shule wasiwazuie wanafunzi kuanza masomo pale wanapokuwa hawana sare za shule, bali watoe muda kwa wazazi walau wa mwezi mmoja ili waweze kuwanunulia watoto wao sare.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS