Picha ya Mkojani na Mkewe akiwa kwenye gari aliyomzawadia
Mchekeshaji Mkojani Bin Darueshi amem-surprise mke wake baada ya kumkabidhi funguo za gari mpya aina ya Murano yenye thamani ya Tsh Milioni 20 ikiwa ni siku chache kupita baada ya kufunga ndoa.