Mkojani amzawadia gari mkewe 

Picha ya Mkojani na Mkewe akiwa kwenye gari aliyomzawadia

Mchekeshaji Mkojani Bin Darueshi amem-surprise mke wake baada ya kumkabidhi funguo za gari mpya aina ya Murano yenye thamani ya Tsh Milioni 20 ikiwa ni siku chache kupita baada ya kufunga ndoa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS