Zari The Bosslady wa kwanza Afrika Mashariki Picha ya Zari The Bosslady Baby Mama wa Diamond Platnumz na mfanyabishara Zari The Bosslady amekuwa mwanamke wa kwanza Afrika Mashariki kufikisha followers milioni 10 kwenye mtandao wa Instagram. Read more about Zari The Bosslady wa kwanza Afrika Mashariki