Simba SC kuwakosa nyota watatu dhidi ya KMC leo

(Kikosi cha Simba cha msimu wa mwaka 2021-2022)

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu NBC Tanzania, Klabu ya Simba inatazamiwa kuendelea na kampeni ya kuutetea Ubingwa kwa kushuka dimbani dhidi ya KMC saa 10:00 Jioni ya leo kwenye dimba la Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS