Grealish akubali mambo magumu, Manchester City
Kiungo wa kimataifa wa England Jack Grealish amesema maisha ndani ya klabu ya Man City yamekuwa magumu kuliko alivyotarajia, Kiungo huyo alijiunga na Manchester City mwanzoni mwa msimu huu akitokea Astoni Villa kwa ada ya uhamisho ya pauni million 100.