Simba SC kuwakosa nyota watatu dhidi ya KMC leo
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu NBC Tanzania, Klabu ya Simba inatazamiwa kuendelea na kampeni ya kuutetea Ubingwa kwa kushuka dimbani dhidi ya KMC saa 10:00 Jioni ya leo kwenye dimba la Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.