(Juventus na Mabingwa watetezi wa UEFA Chelsea 'The Blues')
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya hatua ya 16 bora inataraji kuendelea tena saa 5:00 usiku wa leo kwa michezo miwili ambapo Chelsea wataendelea kampeni yake ya kutetea ubingwa wake dhidi ya Lille ya Ufaransa.