Simba, Yanga kuwindana nusu fainali ASFC
Vigogo wa jiji la Dar es salaam Simba SC, Yanga SC na Azam FC zitacheza michezo yao ya hatua ya robo faianali katika viwanja vyao vya nyumbani kwenye michuano ya Azam Sports Federation Cup. Simba na Yanga huwenda wakakutana nusu fainali, droo ya michuano hii imefanyika leo Dar es salaam.

