'Mwenzetu Magufuli angetamani kuwepo' - Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu leo Desemba 5, 2021 amefungua barabara ya Bagamoyo kipande cha Morocco - Mwenge ambacho ujenzi wake umekamilika.