WIDA kupigwa rasmi, Simba SC kufa na kupona
Mabingwa wa Tanzania bara na wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya klabu bingwa Afrika Simba SC, wanakibarua jioni ya leo cha kupindua matokeo ya bao 1-0 dhidi ya FC Platinum ili kujihakikishia nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya michuano hiyo.