Moja ya behewa la Treni lililopata ajali mkoani Dodoma
Majeruhi 66 waliopata ajali ya Treni iliyotokea Januari 2, 2021, mkoani Dodoma, na kuanza kupatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa huo, wameruhusiwa kutoka hospitalini hapo baada ya hali zao kuimarika.