Alichoambiwa Mwasiti na mama yake Godzillah

Msanii Mwasiti akiwa na Godzillah enzi za uhai wake

Leo ni Januari 5, kumbukumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa msanii wa HipHop Golden Jacob 'Godzillah' ambaye alifariki dunia siku ya Februari 12,2019 ambapo kama angelikuwa hai angesheherekea kutimiza umri wa miaka miaka 32.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS