BASATA wamfungia Gigy Money na faini Milioni moja

Msanii Gigy Money

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia msanii Gigy Money kwa kutojihusisha na masuala ya burudani na sanaa kwa muda wa miezi 6 pamoja na faini ya Milioni 1 kwa kosa la kudhalilisha utu wake kuonesha mauongo yake ya mwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS