Mngereza aagwa Karimjee Dar es salaam

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa (katikati) akiwa na viongozi wengine.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa, wameungana na waombolezaji wengine kuanga mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Godfrey Mngereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS