Simba yafungua milango ya pingamizi
Kamati ya Uchaguzi ya klabu ya Simba imewataka wanachama wa klabu wenye mapingamizi dhidi ya mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa klabu wawasilishe mapingamizi kwenye ofisi za klabu zilizopo mtaa wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam kabla ya tarehe 2 Januari mwaka huu.