Majangili wa Tembo wakamatwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu, ACP Richard Abwao

Jeshi la polisi mkoani Simiyu, linawashikilia watu wawili wakazi wa Kijiji cha Longalombogo wilayani Itilima mkoani humo, baada ya kuwakuta na meno mawili ya Tembo pamoja na fuvu lake, wakiyasafirisha kupeleka Kahama mkoani Shinyanga kwenda kuyauza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS