Picha ya kati ni Faiza Ally, kulia ni Dogo Janja, kushoto ni kitambulisho alichotumia msanii wa filamu Riyama Ally
Leo ni Oktoba 28 ni siku ambayo wananchi wa Tanzania wanapata nafasi ya kuchagua viongozi watakaowaongoza kwenye miaka mitano ijayo kuanzia Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani.