Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba( akiwa chini) baada ya kusababisha penati iliyoipa ushindi Arsenal.
Kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba amekubali kupokea lawama baada ya kucheza rafu dhidi ya mchezaji wa Arsenal, iliyosababisha penati ambayo iliamua matokeo ya mchezo huo wa ligi kuu ya England.