Maalim Seif na Mwinyi wapiga kura Zanzibar

Kushoto ni mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi na kulia ni mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.

Wagombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt Hussein Mwinyi na Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, tayari wamepiga kura hii leo visiwani humo, huku kila mmoja wao akiwaomba wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS