Paresso ashindwa ubunge jimbo la Karatu
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Cecilia Daniel Paresso, ameshindwa kuchukua ubunge aliokuwa akiupigani wa jimbo la Karatu Mkoani Arusha baada ya Daniel Awaki wa Chama cha Mapinduzi,(CCM), kushinda jimbo hilo.