Paresso ashindwa ubunge jimbo la Karatu

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum na mgombea ubunge jimbo la Karatu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Cecilia Daniel Paresso

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Cecilia Daniel Paresso, ameshindwa kuchukua ubunge aliokuwa akiupigani wa jimbo la Karatu Mkoani Arusha baada ya Daniel Awaki wa Chama cha Mapinduzi,(CCM), kushinda jimbo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS