Teknohama ilivyoinusuru Elimu Tanzania na Corona
Virusi vya Covid-19 maarufu kama Corona, vilitangazwa kwa mara ya kwanza kuwa vimeingia nchini Tanzania, Machi 16, 2020. Tangu wakati huo, hofu iliwakumba watanzania na hatimaye, ikatolewa amri ya ofisi, shule na baadhi ya shughuli za kibiashara kufungwa.