Meya wa Mji ashinda kiti cha Urais

Mshindi wa Urais Romania Nicusor Dan

Meya wa mji wa Bucharest ameshinda uchaguzi nchini Romania baada ya kumshinda mgombea wa chama cha siasa kali za mrengo wa kulia, George Simion, kwa karibu asilimia 54.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS