Utajiri wa bosi wa Man United watajwa kuporomoka

Sir Jim Ratcliffe - Mmiliki mwenza wa Manchester United

Mmiliki mwenza wa Manchester United Sir Jim Ratcliffe ameshuhudia utajiri wake ukishuka kwa £6.473bn  ikiwa ni zaidi ya robo ya utajiri wake katika kipindi cha  mwaka mmoja uliopita  kwa mujibu wa orodha  ya hivi punde iliyotolewa  na   Sunday Times.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS