Singida United yafichua siri

Baada ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar klabu ya Singida United imefichua siri kuwa haikuwa rahisi kwa wao kushiriki michuano hiyo pamoja na kuonesha nia hiyo mapema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS