Nape awakalia kooni usalama wa Taifa

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameibuka na kuituhumu Idara ya Usalama wa Taifa nchini haifanyi kazi zake ipasavyo inavyohitajika na badala yake wamekalia kusikiliza simu za watu wanavyoongea pamoja na kufanya mambo ambayo hayalindi uchumi wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS