Nyota wa Tanzania kujenga kituo cha soka

Beki wa Tanzania anayekipiga kwenye klabu ya Baroka FC inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Afrika Kusini, Abdi Banda amesema mwaka huu ana mpango wa kufungua kituo cha kukuza vipaji vya soka mkoani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS