Mali za CCM zaanza kuchunguzwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi  CCM, Dkt.John Pombe Magufuli leo kwa mara ya kwanza amekutana na kamati aliyoiteua kwa ajili ya kuhakiki mali za chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS