Wafanyabiashara walia na ugumu

Leo ni sikukuu ya Krismas ambayo huadhimishwa na Wakristo duniani kote kila ifikapo Disemba 25 kila mwaka, ikiwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, kwa upande wa biashara mambo yamekuwa tofauti, wafanyabiashara wamelia hali kuwa ngumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS