"Hii itasaidia kupunguza"- Rais JPM Rais Dkt. John Magufuli amesema kuzinduliwa kwa hati ya kusafiria Kielektroniki, nchini Tanzania itaweza kusaidia kupunguza usumbufu kwa watanzania pindi wanapotaka kwenda nje ya nchi. Read more about "Hii itasaidia kupunguza"- Rais JPM