Kilichotokea kwa Kanumba ni sawa na Bob Marley -JB Msanii wa filamu wa Tanzania Jacob Steven amesema kifo cha Kanumba kilitokea wakati yupo kwenye 'pick' kwenye sanaa yake, na kufanya kuonekana wengine waliobaki hawana uwezo zaidi yake. Read more about Kilichotokea kwa Kanumba ni sawa na Bob Marley -JB