Fahamu mikoa inayoongoza kwa UKIMWI

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango leo Disemba 2017, amemkabidhi Rais John Pombe Magufuli   takwimu inayoonyesha  hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), wakati wa uwekaji wa jiwe  la msingi katika ofisi za Takwimu Mjini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS