Azam FC yapata pigo tena Klabu ya soka ya Azam FC imepata pigo tena kwa kumkosa mshambuliaji wake Mbaraka Yusuph ambaye anapelekwa nchini Afrika Kusini kwaajili ya matibabu ya majeraha aliyoyapata akiwa na timu ya taifa. Read more about Azam FC yapata pigo tena