Yanga yasonga mbele kibishi Klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kuingia hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la shirikisho nchini baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-5 kupitia mikwaju ya Penalti dhidi ya Ihefu FC. Read more about Yanga yasonga mbele kibishi