Azam FC yapata pigo tena

Klabu ya soka ya Azam FC imepata pigo tena kwa kumkosa mshambuliaji wake Mbaraka Yusuph ambaye anapelekwa nchini Afrika Kusini kwaajili ya matibabu ya majeraha aliyoyapata akiwa na timu ya taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS