Ruvu Stars kufutwa
Klabu ya soka ya JKT Ruvu Stars ambayo inashiriki ligi kuu Daraja la kwanza msimu wa mwaka 2018-2019 itabadilishwa jina na kuitwa JKT Tanzania Sports Club, baada ya wamiliki wa timu za majeshi kukubali kumiliki timu moja itakayowakilisha Majeshi.