Prof. Jay azuiliwa kumuona Sugu
Mbunge Joseph Haule (Prof. Jay) akiwa ameambatana na mke wake Grace Haule wamezuiliwa na uongozi wa gereza la Ruanda liliopo mkoani Mbeya kumuona Bunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi "Sugu" pamoja na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga

