Rais Magufuli aomboleza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo ametia saini kitabu cha maombolezo na kutoa heshima za mwisho kwa mwili Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Tanzania Mhe. Robert Kisanga nyumbani kwake Oysterbay Jijini Dar es Salaam

