Azam FC kuivunja rekodi ya Simba leo ?

Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi Azam FC leo wanashuka kwenye dimba la Amaan visiwani Zanzibar kucheza mchezo wa fainali dhidi ya URA ya Uganda huku wakihitaji kuvunja rekodi ya Simba SC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS