Kikwete amzika mchezaji Yanga

Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Jakaya Kikwete leo amehudhuria mazishi ya mchezaji wa zamani wa Tanzania na klabu ya Yanga Athumani Juma 'Chama' kwenye makaburi ya Kisutu Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS