Hatma ya mchele wa Plastiki yapatikana

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa {TFDA}, Hiiti Sillo

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa {TFDA}, Hiiti Sillo amewatoa wasiwasi wananchi wa Tanzania kwa kuwaambia mpaka sasa hawajapokea taarifa yeyote ya kuonesha kuwa kuna mchele wa plastiki katika masoko makubwa na madogo ya mchele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS