Kocha MC Alger aitambia Yanga
Kocha Mkuu wa Mouloudia Club d'Alger, Kamel Mouassa amesisitiza kuwa hawatarudia makosa yaliyotokea kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga waliochapwa bao 1-0, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam