Walioua askari 8 wilayani Kibiti nao wauawa Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo, Nsato Marijani Jeshi la Polisi Tanzania limesema limewaua majambazi wanne ambao walikuwa ni sehemu ya kundi la majambazi lililowashambulia na kuwaua askari 8 wilayani Kibiti mkoani Pwana jana usiku. Read more about Walioua askari 8 wilayani Kibiti nao wauawa