Walioua askari 8 wilayani Kibiti nao wauawa

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo, Nsato Marijani

Jeshi la Polisi Tanzania limesema limewaua majambazi wanne ambao walikuwa ni sehemu ya kundi la majambazi lililowashambulia na kuwaua askari 8 wilayani Kibiti mkoani Pwana jana usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS